Hivi ndivyo vyakula vinavyokufanya ufurahie ngono na kumridhisha mpenzi wako

Kufurahia ngono

 

Asikudanganye mtu eti kuna dawa za nguvu za kiume, Ni utapeli tu. Nguvu za kiume zinatengenezwa kwa vyakula ambavyo kila mtu anauwezo wa kuvipata tena bure au kwa pesa ndogo kama sh 100 tu.

Hapa utavijua vyakula vyote vinavyoongeza nguvu za kiume na vyakula vinavyoleta hamu ya tendao la ndoa yaani ngono kwa lugha nyingine.

Kumbuka ukimwi upo na magonjwa ya zinaa yapo, Ni bora ukajilinda na ukawalinda watu unaoshiriki nao ngono kila ukihitaji.

Embu fikiria mazingira haya, umeshafanikiwa kimaisha yaani una watoto, una mke au mume uliyemtamani maishani, una pesa una nyumba hala unaenda kupima ukimwi unaambiwa ndugu anza kuishi kwa matumaini umeathirika je utajisikiaje?

Hivyo kila unapompata rafiki wa kufanya nae ngono hakikisha unatumia kinga unazoshauriwa na watalaamu wa Afya na Wizara kwa ujumla, Ni vyema mkawa mnapiama ukimwi kabla hamafanya ngono.

Huwezi kuishi bila ngono kwakua ni hitaji la msingi kama ilivyo kwa chakula, Lazima utafanya ngono tu upende usipende, Sasa ili usikumbwe na matatizo ya kukimbiwa na mpenzi wako kwakua humrizishi kimapenzi yaani humfikishi kileleni unatakiwa kujifunza  mapema vitu vya msingi amabavyo vitakufanya ufurahie ngono kwa kila utakayekutana nae na hutakimbiwa tena na mwanamke, Wapo wanaume ambao wamewapenda wadada fulani lakini baada ya kufanya nao mapenzi siku moja wadada hao hawaatamani kurudia tena ngono kwakua waliona ni kero tu badala ya kuwa starehee.

Maumbile ya mwanaume ni tofauti na mwanamke. Mwanamke anachalewa sana kufika kileleni mkiwa kwenye tendao la ndoa wakati mwananu hata ndani ya dakika 5 tu anaweza kumwaga na kuridhika wakati mnatakiwa mmalize kwa pamoja yaani atangulie mwanamke kukojoa ndipo manaume umalizie. Hii nayo inahitaji uelewa yaani utajuaje sasa mke wangu ndio anafika kileleni? Ni somo hili unatakiwa kufundishwa kama hujui. Basi endelea kufuatilia makala hii mpaka mwisho utajua vyote.

Ili uendelee kusoma na kujua vyakula ambavyo ukila leo mashine yako itasimama kama antena na kurudia tendo hata mara 5 ndani ya saa moja bonyeza share au tweet kisha itume kwenye facebook yako au twetter utaona makala imefunguka na utaisoma hapa hapa Karibu kuendelea na somo letu

SHARE TO UNLOCK THE CONTENT.image/svg+xml
To Unlock, click share or tweet button below 
Bonyeza share au tweet itafunguka ukimaliza kushare facebook au twitter


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *