Askari alivyo niokoa ugenini | simulizi-Mkasa

Askari alivyoniokoa ugenini | simulizi-Mkasa

Askari alivyoniokoa uganini

Siku moja binti mmoja niliyetokoea kumpenda sana alikuja kunitembelea nyumbani kwangu, ilikuwa siku ya furaha sana kwangu, Huyu binti hakika nilikuwa nilishampenda sana tangu siku nyingi zilizopita, Binti wa kiafrika mwenye rangi nzuri ya kuvutia ya kiafrika, binti huyu nahisi ni bikra kutokana na tabia nzuri aliyo nayo, niliwaza kimoyo moyo.

Binti alifurahi kupaona nyumbani kwa mara yake ya kwanza, nilimtembeza kila kona ya mazingira yetu mpaka bondeni tuliko fugia samaki, aliyapenda mazingira na kunipongeza ubunifu mkubwa wa kuchimba mabwawa ya samaki hayo. Nilimwambia kwetu kitoweo cha samaki hakikosekani, tukihitaji tu kula samaki tunakuja bwawani tuna vua samaki idadi ya kututosha tunawaandaa kwa kitoweo. Binti alitamani maisha hayo, tulizunguka sehemu zote na baadae akasema anataka kuondoka nimsindikize basi sikuwa na papara ya kuanza kumbembeleza alale hata siku moja tu nyumbani ndo aondoke. Nilimchumia machungwa akaweka kwenye mkoba wake tukaanza safari ya kurudi kumbe alikuwa…. Inaendelea……  

SHARE TO UNLOCK THE CONTENT.image/svg+xml
To Unlock, click share or tweet button below 
Bonyeza share au tweet itafunguka ukimaliza kushare facebook au twitter

 

 


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *